Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina

Search This Blog

Breaking

Serikali kuja na mpango wa kodi ya nyumba kulipwa mwezi mmoja mmoja

TANGAZA NASI HAPA


2016-04-14

BREAKING NEWS....! MBOWE AFIWA NA KAKA YAKE.

BREAKING NEWS....! MBOWE AFIWA NA KAKA YAKE.

 

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amepatwa na msiba baada ya kaka yake(Kanali Max Mbowe) kufariki leo asubuhi katika hospitali ya Taifa Muhimbili.


Taarifa hizo zimeandikwa na Mbowe kupitia akaunti yake ya Twitter muda mfupi uliopita.

No comments:

Post a Comment

Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina