Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina

Search This Blog

Breaking

Serikali kuja na mpango wa kodi ya nyumba kulipwa mwezi mmoja mmoja

TANGAZA NASI HAPA


2016-08-31

.Wanafunzi wa chuo cha Rice lise wagoma kuingia madarasani.

Ni kibao kilichopo katika chuo cha Rich Rice kikikukaribisha chuoni hapo


Wanachuo wakiwa katika hali ya mgomo wa kuto kuingia madarasani .


Wanachuo wakielekea kwenye Hostel .

Makamo mkuu wa chuo hicho Elisha Ndelembi akitoa maelezo kwa wanahabari juu ya hatua ya kugoma wanafunzi.

Mkuu wa wilaya ya Geita,Herman Kapufi akitoa maelekezo mbele ya wanafunzi.
Wanachuo wakifatilia kwa makini maagizo ya Mkuu wa Wilaya.

No comments:

Post a Comment

Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina