Ni kibao kilichopo katika chuo cha Rich Rice kikikukaribisha chuoni hapo
![]() |
| Wanachuo wakiwa katika hali ya mgomo wa kuto kuingia madarasani . |
![]() |
| Wanachuo wakielekea kwenye Hostel . |
![]() |
| Makamo mkuu wa chuo hicho Elisha Ndelembi akitoa maelezo kwa wanahabari juu ya hatua ya kugoma wanafunzi. |
![]() |
| Mkuu wa wilaya ya Geita,Herman Kapufi akitoa maelekezo mbele ya wanafunzi. |
![]() |
| Wanachuo wakifatilia kwa makini maagizo ya Mkuu wa Wilaya. |





No comments:
Post a Comment