Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina

Search This Blog

Breaking

Serikali kuja na mpango wa kodi ya nyumba kulipwa mwezi mmoja mmoja

TANGAZA NASI HAPA


2016-09-17

Perfect Combo ya Joh Makini yapata Shavu kwenye Top 10 ya redio Nigeria


Ni ukweli usiopingika kwa sasa muziki wa Bongo unazidi kutoboa kwenye nchi nyingi barani Afrika.Joh Makini ni mmoja kati ya wasanii kutoka Tanzania wanaofanya vizuri kwenye redio na TV za nje huku akiwa na rekodi ya wimbo wake wa ‘Nusu Nusu’ kuwahi kushika namba moja mwezi Julai mwaka jana kwenye chati za runinga ya MTV Base.

No comments:

Post a Comment

Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina