Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina

Search This Blog

Breaking

Serikali kuja na mpango wa kodi ya nyumba kulipwa mwezi mmoja mmoja

TANGAZA NASI HAPA


2016-09-22

Lionel Messi kukaa nje ya uwanja kwa wiki tatu

Image result
Mchezaji wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi ameumia katika mguu wake wa kulia (Groin) na atakaa nje ya uwanja kwa takribani muda wa wiki 3.

Messi amepata maumivu hayo katika mechi dhidi ya Atletico Madrid ambapo alitolewa kunako dakika ya 59 na nafasi yake kuchukuliwa na Arda Turan.

No comments:

Post a Comment

Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina