Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina

Search This Blog

Breaking

Serikali kuja na mpango wa kodi ya nyumba kulipwa mwezi mmoja mmoja

TANGAZA NASI HAPA


2016-09-03

Mtoto Mchanga akutwa amefariki akiwa ndani ya boksi mkoani Geita

Mtoto mchaga  amekutwa amefariki akiwa ndani ya  boksi mtaa wa Kumi na nne Kambarage wilayani na mkoani Geita 


Chanzo cha kugundua hilo ni baada ya Wanafunzi waliokuwa wakipita katika eneo hilo wakielekea shuleni ndipo walipoona boksi hilo liliwa pembezni mwa barabara  

Baada ya wanafunzi hao kufungua boksi hilo ndipo walipokutana na mtoto mchanga ndani yake na tayari akiwa amekwishakufariki.

No comments:

Post a Comment

Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina