Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina

Search This Blog

Breaking

Serikali kuja na mpango wa kodi ya nyumba kulipwa mwezi mmoja mmoja

TANGAZA NASI HAPA


2016-03-24

WANANCHI MKOANI GEITA WAMEIOMBA SERIKALI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSIANA NA UGONJWA WA KIFUA KIKUU

Wananchi  mkoani Geita wameiomba serikali  kutoa elimu zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kifua kikuu ikiwa ni pamoja na watu kuhudhuria vituo vya afya kupima  ugonjwa huo.


Wakizungumza na storm habari wabnanchi hao wamebainisha kuwa ili kuepukana na ugonjwa wa kifua kikuu ni muhimu kuzingatia kanuni za afya.

Aidha kwa upande wake meneja wa mpango wa taifa wa kudhibiti kifua kikuu na ukoma, Dr Beatrice Mutayoba amebainisha dalili kuu za ugonjwa wa kifua kikuu kuwa ni maambukizi yanayosababishwa kwa njia ya hewa.  

Hayo yanakuja ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya ugonjwa wa kifua kikuu duniani ikiwa na kauli mbiu “tuungane kutokomeza kifua kikuu.

No comments:

Post a Comment

Tunakupa habari motomoto na uchambuzi wa kina