Waziri wa Maliasili na Utalii Pro. Jumanne Maghembe
amemsimamisha kazi Mkurugenzi Msimamizi wa Wanyamapori, Charles Mulokozi baada
ya kutoa vibali vya kusafirisha Tumbili kwenda Albania.
Sakata hilo limetokea baada ya Jeshi la Polisi kuwakamata raia 2
wa Uholanzi katika uwanja wa ndege wa KIA wakiwa na 61 hai wakijaribu
kuwasafirisha kwenda nchini Albania.
No comments:
Post a Comment